Kuchukua
hatua rahisi ili kuzuia kupata au kueneza Virusi Vya Ukimwi hii itakusaidia kwa
wote kwa ajili yako na kwa yule umpendae. Kwa asilimia 100 njia ya kuzuia
maambukizi ya VVU kwa njia ya ngono ni kujiepusha nayo - kwa maana kwamba kuacha kufanya ngono ya aina
yoyote.
September 28, 2014
September 22, 2014
Jinsi ya kujichunguza Saratani ya matit mwenyewe
Saratani
ya matiti ni ugonjwa ambao huwapata wanawake na unatokana na athari za chembe
ndogo ama seli kwenye matiti na matokeo yake ni kwamba hubadili mfumo wa
kawaida wa kukua na kuongezeka.
September 10, 2014
Madhara ya kutumia magazeti kufungia vyakula
Maradhi ya saratani yanasababishwa na mambo mengi, ikiwemo ulaji wa vyakula vyenye kemikali zenye sumu. Tabia ya kufungia vyakula kwa kutumia magazeti inaweza kuchangia maradhi ya saratani.
September 7, 2014
Magonjwa ya zinaa na athari zake wakati wa ujauzito
Magonjwa
ya kujamiiana au ya zinaa ni yale ambayo kwa kawaida huenezwa kwa njia ya
uhusiano, hata hivyo, mara nyingi hii huhusisha masuala ya ngono, lakini
kitaalamu yanajumuisha pia kugusana kwa miili kwa karibu, kupigana busu na
kufanya ngono kinyume cha maumbile.
September 5, 2014
Faida azipatazo mama anayeyonyesha mtoto
Shirika
la afya duniani (WHO) linasisitiza mama kumnyonyesha mtoto kwa kipindi cha
miezi sita bila kumwanzishia vyakula vingine.
WHO
inaeleza kuwa baada ya miezi sita mama anaweza
kumwanzisha vyakula vingine mtoto wake huku akiendelea kumnyonyesha maziwa
ya mama angalau mpaka atakapofika umri wa miaka miwili au ziadi.
Pia,
mtoto anyonyeshwe saa moja baada ya kuzaliwa, anyonyweshwe pale anapohitaji
mara nyingi kwa kadri anavyohitaji usiku kwa mchana na mama anashuriwa
kutotumia chupa kumpa maziwa mtoto.
September 3, 2014
Matumizi sahihi ya dawa jamii ya antibiotic
Kijiuasumu
kisipotumiwa vizuri chaweza kudhuru afya yako.
Vijiuasumu
(antibiotic) ni moja wapo ya dawa muhimu zinazotumika mara kwa mara katrika
kutibu maognjwa mbalimbali hasa yatokanayo na vimelea. Dawa hizi hutibu
magonjwa kwa ama kuua bakteria au kuounguza uwezo wake wa kuzaliana.
September 2, 2014
Madhara ya matumizi ya vipodozi vyenye viambato vyenye sumu
1.
Moja kati a viambato
vilivyopigwa marufuku kutumika kama kipodozi ni aina ya “steroids” ambazo kimsingi ni dawa, mfano wa viambato hivi ni pamoja
na “Clobetasol” na “Betamethosone” zinazopatikana katika dawa aina ya MOVATE,
BETACIRT-N, DIPROSON, GENTRISONE, n.k
September 1, 2014
Vipodozi vilivyopigwa marufuku tanzania
1. Bithionol
2. Hexachlorophene
3. Mercury compounds
4. Vinyl chloride
5. Zirconium – containing complexes in aerosol products
Makala Zilizosomwa zaidi
-
Tuliona kuwa kipindi cha kujifunga hutabiriwa lakini siku rasmi mara nyingi haitabiriki. Wengi hufikiria kuwa dalili ya kwanza ya kut...
-
NUSU ya watu wanaotumia kondomu kwa ajili ya kujikinga na mimba ama magonjwa ya zinaa, hawajui namna ya kuitumia mipira hiyo
-
Hii ni njia ambayo mwanamke anaweza kutumia kupanga uzazi bila kutumia dawa au kitu cha aina yoyote. Njia hii inategemea kuchagua kwa ma...

Kutuhusu Sisi
Makala zetu
-
▼
2014
(140)
-
▼
September
(8)
- Maana ya kufanya ngono salama
- Jinsi ya kujichunguza Saratani ya matit mwenyewe
- Madhara ya kutumia magazeti kufungia vyakula
- Magonjwa ya zinaa na athari zake wakati wa ujauzit...
- Faida azipatazo mama anayeyonyesha mtoto
- Matumizi sahihi ya dawa jamii ya antibiotic
- Madhara ya matumizi ya vipodozi vyenye viambato vy...
- Vipodozi vilivyopigwa marufuku tanzania
-
▼
September
(8)
